Ukurutu (Sugu)

Ukurutu (Sugu)

Katika hatua za usugu (baadaye) za ukurutu, upele mara nyingi huwa unatokea katika sehemu moja tu au sehemu kadhaa kama vile kwenye mkunjo wa ndani wa eneo la kiwiko kama inavyoonekana hapa.

Picha kwa hisani ya Thomas Habif, MD.